Katika hali ya kushangaza kutoka vyanzo mbalimbali vinaonyesha kuwa tozo za abiria Viwanja Vya ndege Dola 45-90 zinakwenda mifukoni mwa watu mafisadi badala ya serikali, kampuni feki ya Samir ilikabidhiwa tenda hiyo Arusha siku ya wanawake duniani, mpaka hakuna senti iliyoingia serikalini, n.b...
Katika hali ya kushangaza kutoka vyanzo mbalimbali vinaonyesha kuwa tozo za abiria Viwanja Vya ndege Dola 45-90 zinakwenda mifukoni mwa watu mafisadi badala ya serikali, kampuni feki ya Samir ilikabidhiwa tenda hiyo Arusha siku ya wanawake duniani , mpaka leo hakuna senti iliyoingia serikalini...
Karma itafanya kazi, pia tusubiri Novena ila ikibidi watu waamke haya matekaji yatamaliza watu, hata vitu vya kijinga mtu katekwa aiseeee yaani wameshaona kupoteza uhai wa mtu aliyeumbwa na Mungu ni mchezo sio?
Mada tayari, aiseeee Lumumba mna safari ndefu sana ya kwenda mpaka mpate akili, Kwa kusoma hujui hata picha huoni wake wa akina Salum Mwalimu, Kigaila ,Kafulila wameshindwa kura za maoni Kwa mbali kabisa hujaona wakipitishwa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.