Habari ya wakati huu wapendwa
Naomba kuuliza, ukiwa umesoma basic driving course ukapata leseni na kuitumia miaka zaidi ya miwili, je utaweza kwenda kusomea kozi ya VIP grade two bila kusoma PSV?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.