yap upo sawa mkuu ila mimi kwangu havina maumivu mpaka ukiminye ndo utajihsi pain kwa mbaali na pia hata panapo pona panabakia uvimbe kwa ndani kama kijinyama hivi
jaman nnaomba kujuzwa kuhusu uvimbe sehemu za siri, ni kama vijipu ila havina usaha vinatuna kwa ndani na kutokeza nje kidogo, mwakajana nlipima syphilis nkaambiwa cna wakanipa madawa hayajasaidia kwa anayejua dawa au ushauri. NB: Vilianza kunitokea kabla cjaanza kushirik sex, na kiujumla mimi...
dalili zote zipo cdhani kama kuna tatzo linaloweza kusababisha ganzi na macho kushndwa kuona vizur zaid ya kisukari, ila kupima ndio lengo ndio maana nikaulizia bei ya vipimo ili nijipange.
Mimi nina umri wa miaka 19 nipo form 5. Ila inaniwia vigumu kuendelea vizuri na masomo kwa sababu za kiafya, ninahisi nina kisukari japo sijapima ila dalili zote ninazo kama miguu na mikono kufa ganzi, sometimes kuishiwa nguvu na jicho la kulia hushindwa kutazama jua kali.
Ninaomba mnisaidie...
Nashukuru sana, lakini ningeomba mnijuze njia zinazoweza kutibu bila kufika hospital, maana nipo shule na ni mbali na vituo vya afya labda mpaka likizo, je wakat nasubiri likizo nifanye nini?
Jamani mficha maradhi kifo humuumbua, mwanzo nilikuwa najisikia muwasho katika sehemu ya haja kubwa nikadhani ni sababu sijachamba vizuri kwakuwa nipo shule ya bweni kuna uhaba mkubwa wa maji ila muwasho ulpoendelea nilijichunguza vizuri na kugundua kuna kauvimbe kama kanyama kametuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.