sasa si nyinyi hawa mnasema ni ndugu zenu wa damu?
Mbona mnawaacha wanahangaika mitaani kama yatima ?
Chukuweni hatuwa za kuwakombowa kama kweli mnawapenda?
Nyinyi mmewatupa na mnategemea Zanzibar indio iwaokote na kuwalea?
Wadanganyika Amkeni?
sasa si nyinyi hawa mnasema ni ndugu zenu wa damu?
Mbona mnawaacha wanahangaika mitaani kama yatima ?
Chukuweni hatuwa za kuwakombowa kama kweli mnawapenda?
Nyinyi mmewatupa na mnategemea Zanzibar indio iwaokote na kuwalea?
Wadanganyika Amkeni?
Hii jamii ni janga kwa ZANZIBAR.
Hii jamii mmeikataa huko kwenu na sasa mnataka kuipa mzigo nchi ya Zanzibar.
Mgelikuwa mnawathamini na kuwajali mgeliwaenzi kama wenzenu wa KENYA.
Waokoeni ndugu zenu na laana ya kujiuza,kuiba na kula unga.
Watanganyika Mnadanganyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.