Hao wote wanaotetea wameoa darasa la 7 B janamke likiamka asubuhi linapiga miyayo tu......aiseee kwangu nilishaipinga vikali.
Ngoja upate ajali uoneeee kama familia haijala nyasi na mkeo atagongwa kupitilizaaaaaa
Sijawahi kuwaza wala kufikiria kuwaza kuoa goli kipa .....aisee awamu hii na karine hii goli kipa utatatamani ufeee tu.....jitu halina mshahara then pasua kichwa ...pumbavu.
Narudia tena pesa huleta amani ktk penzi.
NB. Ukiona umeoa mke na nimfanyakazi lakini pesa zake huzioni ujue huyo sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.