Recent content by Chibanji

  1. C

    Wanaotaka kusoma kozi za afya 2015-2016

    ofcoooz phyz inamata sana. nafkiri jaribu kudownload guid book uone mwenyewe.. condition ya phyz ipo.. tofaut na hapo abda kma olevel ulipiga phz fresh unachukuliwa
  2. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi ualimu idara ya sekondari.aje chamwino dodoma niende muheza tanga au tanga mjini.. Nipo tyri kwa mawasiliano kama atapatikana mdau
  3. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo chamwino dodoma nije muheza tanga .idara ya secondary nna nipo tayarikwa mawasiliano kama wakubadilishana atapatikana
  4. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO CHAMWINO DODOMA NIJE TANGA MJINI.IDARA YA SEKONDARI O- LEVEL.mawacliano yapo.kma mdau atapatkana,,, axantee!!!!
  5. C

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    wadau naombeni contact za kondoa girlz mfano website yao au namba ya cm ya mtu wa karibu xana kma mkuu wa shule,kikubw nataka kupata join form dg kachaguliwa pale na mda umeenda karibu waanze masomo.
  6. C

    Bachelor of Education in Physical Education and Sport Science

    wakuu nauliza college znazotoa kozi ya physical edtcn level ya diploma na jinsi ya kutuma maomb kupitia nacte..
  7. C

    Kozi ya Diploma in Clinical Officer

    mvumi college of clinical md ipo dodoma
  8. C

    Barua kwa TCU na loan body

    jamani tunaombeni msaada wa maelekezo jinc ya kuandika barua kwa tcu kwa wale ambao tulichaguliwa vyuoni mwaka jana na kushindwa kulipot kwa sababu mbalimbali ijapokuwa hatukulipoti kwenye vyuo husika akini imetokea malalamishi ya wenzetu ambao wamedai kugomewa kuaply na tcu ad waandike izo...
  9. C

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    nimelog in mwenyew kwa kumsaidia fom aiwez kueditika na na nlitaka nimsaidie kuaply upya wadau wanadai uwez kuanza upya coz namba yake ishakuwa registered
  10. C

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    WADAU NA MDGO ANGU KAKOSEA FOM YA BODY YA MIKOPO AN HESLB IKATOKA OVERSEA UNDERGRADUATE BADALA YA LOCAL UNDRADUATE XA NAOMBENI MAWAZO NIMSAIDIE DG AWEZE KUPRINT FOM YA WANAFUNZI WA NDANI YA NCHI NA C NJE KAMA ILIVOTOKA AWALI naheshim sana mawazo yenu
  11. C

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    WADAU NA MDGO ANGU KAKOSEA FOM YA BODY YA MIKOPO AN HESLB IKATOKA OVERSEA UNDERGRADUATE BADALA YA LOCAL UNDRADUATE XA NAOMBENI MAWAZO NIMSAIDIE DG AWEZE KUPRINT FOM YA WANAFUNZI WA NDANI YA NCHI NA C NJE KAMA ILIVOTOKA AWALI naheshim sana mawazo yenu
  12. C

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    tuko wengiii tuuu ucwazeee me nmewapigia voda wanafanya mamboo
  13. C

    NACTE na vyuo vya diploma na certficate

    natanguliza shukrani kwenu wadau
  14. C

    NACTE na vyuo vya diploma na certficate

    Wadau naombeni mnijulishe n kwa namna gani unaaply kupitia nacte na college hucka kwa muda muafaka! mfano baaz ya vyuo vyenye diplma na certfcate vimeanza kupokea maombi akn nacte bdo ziii!. kwo online aplctn itakuaje.?? tuwasubr nacte wakati umeshaomba chuo hucka au ajeee!!!
Back
Top Bottom