wingi wa watu si hoja, hakuwa na hoja ya kueleweka! kufanya kazi kwa mazoea kwamba amekuwa serekalini kwa muda mrefu,basi ndio anafaa si kweli! Kwa sasa taifa hili linahitaji kiongozi makini na mwenye dhamira ya dhati ya kulikomboa taifa hili!
Amebeba hoja nzuri, mtu unapohitimu elimu ya juu (chuo) hupati kazi moja kwa moja, inawezekana ndiyo shughuli aliyoifanya kabla ya kupata nafasi ya kazi BOT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.