MsemajiUkweli,
Hata mimi mlinzi wangu sasa hivi ameajiriwa na mtu mwingine na maisha yanaendelea.
Kama Lowassa ametoka CDM na bado moto ni ule ule ndio itakuwa body guard?
Jibu swali mbona jamaa yako haheshimu sheria za nchi?
Stay tuned, this time you will face the music maana hata Saddam alijua yeye ni mungu mtu lakini sasa hivi anapatikana kuzimu akiwa hoi.
Mbona kiongozi wako anavunja kila siku na hapati kibano.
This is a banana republic, it does not respect its own laws. Na safari hii wanakula sahani moja na nyie, na wameshaanza, stay tuned.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.