MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
Jopo la ulinzi wa Freeman Mbowe limejiunga CCM huku mmojawapo akiwa mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM. Tukisema CCM ni mfumo wa kisiasa nchini kuna baadhi ya watu hawaelewi!
Kuna ''wajinga'' fulani wanadhani Siasa za uanaharakati Tanzania zinaweza kuwawezesha kuchukua dola. Upinzani nchini bado sana na kwa siasa hizi za uanaharakati utasubiri sana kupata dola
Maneno ya Mwl. Nyerere yasemayo, ''Mpinzani wa kweli atatoka CCM'' bado mpaka sasa yanasimama
PICHA NA VIDEO:
Waliokuwa walinzi wa Mbowe wakiwa kazini kabla ya kujiunga CCM!
VIDEO ikimuonyesha Mlinzi wa karibu wa Mbowe na jopo lake wakienda kuchukua fomu za Udiwani.
Mmoja wa walinzi wa karibu wa Mbowe akichukua fomu za Udiwani
Kuna ''wajinga'' fulani wanadhani Siasa za uanaharakati Tanzania zinaweza kuwawezesha kuchukua dola. Upinzani nchini bado sana na kwa siasa hizi za uanaharakati utasubiri sana kupata dola
Maneno ya Mwl. Nyerere yasemayo, ''Mpinzani wa kweli atatoka CCM'' bado mpaka sasa yanasimama
PICHA NA VIDEO:
Waliokuwa walinzi wa Mbowe wakiwa kazini kabla ya kujiunga CCM!
VIDEO ikimuonyesha Mlinzi wa karibu wa Mbowe na jopo lake wakienda kuchukua fomu za Udiwani.
Mmoja wa walinzi wa karibu wa Mbowe akichukua fomu za Udiwani