Usifananishe maendeleo ya majimbo ya huko USA na pengine na sisi tukiwa na majimbo tutakuwa kama wao, kumbuka wao mpaka sasa wana maraisi waliopita zaidi ya 40, na sisi ndio kwanza 5, wao wametoka kwenye safari ndefu sana kufikia pale so usijidanganye.
Na pia ukigawa nchi kwa zone kiuwongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.