kweli hapa hatuna wapinzani mtu ambaye nyie chadema mmetuaminisha kwa miaka kadhaa kuwa ni fisadi leo hii mnamsimamisha agombee uraisi kweli njaa na madaraka ni shidaaa. wapinzani wa Tanzania niwa kuogopwa kama ukoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.