hata hili nila ukombozi maana mada zinazojadiliwa hapa ni babu kubwa,watoa mada wameenda shule mtu kama KAFULILA hawezi kutoa pumba,DR RWAITAMA EXAVEL na DR MKUMBO hawezi kutoa mada mbovu.
dr lwaitama kasema chanzo cha neno Mapinduzi ni kule Arusha kwenye azimio,na maana yake ni kuchoka na kunyonywa na wakoloni.Swali je leo unyonywaji wa wananchi umetoweka au bado upo?Je,malengo ya kuanzishwa neno mapinduzi limetimia kwa kiwango gani?wana jf naomba maoni yenu.
Live kutoka mbeya dr kitila mkumbo yuko anaongea na wananchi ukumbi wa mtenda sun set,ameanza kwa kuwapongeza waandaji na namna walivyo andaa na kwa kueleza namna muungano wa serikali yetu ilivyo.toa maoni yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.