Yaan tigo customer care wao nikiunganish kikubwa na wale matapeli wa mitandaon. Nibaada ya kuwasiliana na tg customer care kuanzia siku ya ijumaa 19 ili kurudishiwa pesa ambayo niliituma kimakosa. Mawasiliano yalikua siku 7 kila nikipiga naambiwa subir saa 24 lkn lengo lao haikua kurudisha pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.