Recent content by Cheguevara Jr

  1. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Asante kaka,nimeanza kuukali uhalisia
  2. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Swala haliko hivyo mkuu,nimelieza kwa kina kwenye kisa hiki ndugu yangu
  3. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Hapana mkuu
  4. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Ndugu yangu umri wa miaka 30 kuoa bado ni mdogo???
  5. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Ni mke wa ndoa hasaa
  6. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Ni kwel siko tayari kabisa kwa hilo maana hao ndo furaha yangu,pia suala la makazi halikua changamoto sana.ila nivyopata msiba na maradhi ndo hapo mambo yalivurugika.
  7. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Nashukuru kwa kunifariji mkuu,yaan kumpoteza mtu uliyemthamin na kushea mambo mengi inaumasana
  8. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Hapa ishu ni kwamba kwao ni karibu sana na sehemu yake ya kazi ndugu yangu,kuepusha usumbufu niliona ni vyema akae kwao kwa mda.mimi kwetu ni mkuranga.sasa kutoka mkuranga mpa UDSM ni mtihan
  9. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Nashukuru kwa hilo
  10. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Hapo kwenye kufanya uhamisho mimi ndo nilihusika kwa hilo.na kuratibu mipango yote.
  11. Cheguevara Jr

    Ndoa yangu inateketea

    Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2. Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi...
  12. Cheguevara Jr

    Will you be my husband?

    Yes,niko tayari ustadhat
  13. Cheguevara Jr

    Natafuta rafiki wa kiume

    D Kwaiyo sisi wafupi hatuna nafasi????
  14. Cheguevara Jr

    Dada wa kazi ananitega

    Utoto raha jamani
Back
Top Bottom