Ni kwel siko tayari kabisa kwa hilo maana hao ndo furaha yangu,pia suala la makazi halikua changamoto sana.ila nivyopata msiba na maradhi ndo hapo mambo yalivurugika.
Hapa ishu ni kwamba kwao ni karibu sana na sehemu yake ya kazi ndugu yangu,kuepusha usumbufu niliona ni vyema akae kwao kwa mda.mimi kwetu ni mkuranga.sasa kutoka mkuranga mpa UDSM ni mtihan
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.
Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.