Wafanyakazi TBL tunaomba serikali iingilie kati swala lililopo kati ya Management ya TBL na wafanyakazi la sivyo wazawa tutazidi kunyanyaswa ndani ya nchi yetu! Makaburu wamewatunuku madaraka baadhi ya wazawa na hivyo kushindwa kututetea hata pale tunapokuwa na madai ya msingi.
Na hii mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.