Unataka ujue kabila langu ili iweje, inaongeza nini, kwann usinitambue kama mtanzania tuh, au unataka ujue kabila langu ili uone namna ya kunipa huduma nzuri au mbaya
Haya maswali ya ukabila na udini yalikua ya kikoloni kuwagawa watu tuh na sie tumeyarithi tunaona yanafaa wakati ni upuuzi...
Habari wanajukwaa,
Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa tunapoekea kutafuta kabila mpya.
Haya mambo utayakuta Polisi, JKT, Hospitali, bodi ya Mikopo n.k
Kwakweli...
Pia Kuna michongo ya kulea wazee £13/h na Hawa unapiga Kila siku Kama utapenda yaani hawana wafanyakazi kabisa unaweza ukaunga hata shift 3 mfululizi na kazi yenyewe Wala sio ya nguvu ila uvumilie kero za wazee (Kama ubaguzi na kuchezea uchafu wao) ukibahatika wazee wengine muda mwingi wamelala...
Kusema maisha ya England magumu ni kuongopeana mchana kweupe ,labda Kama umeenda kuishi kwenye majiji makubwa Kama London (na kwann ukaishi London)..
Mfano mbongo uje uishi hapa derby ,hamnahamna umepata mchongo kwenye warehouse inakulipa £10 kwa saa ,hapa derby maisha mepesi tuh kidogo labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.