Broo hongera sana hilo jambo uliloamua kulifany ni jembo kubwa sana mbele ya Mungu mwingi wa rehema hakika kutokana na hilo zitakuandama baraka nyingi sana.
Ila cha msingi jitahid hao watoto wakishaanza kujitambua uwaambie ukweli yaani usiwafiche chochote wakue wakijua ukweli wa kila jambo pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.