Recent content by Chechetuka

  1. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Subirini muone kitakachojiri ktk kumpata mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
  2. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Admin, uwe mwangalifu na hoja za namna hii. Zinaidhalilisha JF inayopendwa na kuaminiwa na wengi
  3. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Munabadirisha hoja toka kushughulikiwa kwa wafanyabiashara wa mawe kwenda kwa nafasi ya kugombea Urais. Huu ni ujinga. Toa hoja, ijadili, imalize halafu anzisha hoja nyingine.
  4. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Nenda kamuulize Laurence Masha atakwambia wamiliki wa tanzanite one ni akina nani.
  5. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Unawajua kweli wamiliki waTanzanite one? Au umeamua kuleta ujinga wako humu ili wajinga wenzio wajiburudishe kuchangia upumbavu? Musitumie vibaya fursa hii ya kutoa hoja/mada ktk Jamii Forum.
  6. Chechetuka

    Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    Kilorito, hivi una akili timamu kweli kuleta taarifa hii humu jamvini? Unasema umepata taarifa toka kwa wafanyabiashara wenzako wa mawe kuwa Membe ameapa kuwashughulikia. Mbona hutuambii kiapo amekitoa lini, wapi na kwa nani? Peleka ujinga wako kwa wajinga wenzio. Next time leta taarifa iliyo na...
  7. Chechetuka

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    Zagazaga, ukiulizwa swali toa jibu, na kama hujui, basi sema hujui….
  8. Chechetuka

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    Nitajie marafiki watano wakubwa wa Seth Sigh (Singasinga mwizi wa IPTL)
  9. Chechetuka

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    Ocampo, hebu nitajie watu watano muhimu wa kambi ya Membe waliohamia kwa Pinda. Kwa kuonesha usivyojua mambo na badala take unatunga bongo tu, ni kuwa huyo Membe aliahirisha safari take ya née na kwenda Dodoma kumuokoa Pinda. Rejea kikao cha Chama. Unaposema kuwa Membe amezoea kutoa siri za...
  10. Chechetuka

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    Kama mane no hayo hapo juu umeandika wewe mwenyewe basi, wewe ni mmoja kati ya "wasanii" wakubwa wa uongo na upotoshaji. Umejikita zaidi kwenye "theory" kuliko vitendo. Kama vile sinema,
  11. Chechetuka

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    Ngoja nikawajibike kwa sasa kabla jua halijazama.
  12. Chechetuka

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    Ogepeni saaaana mtu anayepigana vita kimya kimya. Mutashangaa siku ya mwisho hata mkeo atakugeuka. Kama maneno yangekuwa ni ushindi, basi sadam hussein angeshinda vita dhidi ya wamarekani kwa kupitia waziri wake wa mambo ya nje wakati wa utawala wake.
  13. Chechetuka

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    4. Mzee Chizi kama umekulia ndani ya ccm uwezi kutofahamu uwezo na umahiri wa mzee chizi..amekuwa mkufunzi wa chama katika miaka mingi sana hivyo ni mtaaluma wa chama anayejua chama vizuri, anayejua misingi ya chama, anayejua conceptual za chama, anayejua theories za chama, anawajua wanachama na...
  14. Chechetuka

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    7. Asian Group Hili group lilijitoa kwa hali na mali kufanikisha kampeni za JK 2005 kwa kutoa fedha nyingi sana sana kama wakina Patel et all....... ila baadaye jamaa waliwageuka na kuwapa mashataka ya EPA wakati dhumuni la fedha hizo zilikuwa za kampeni, kwa hiyo majamaa wamekasirika sana na...
  15. Chechetuka

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    9. Wanndishi wa habari hili ni group muhimu sana wakiongozwa na Kibanda, Msaki, Pasco, Bakari na kwa sasa bbc iliyoanzishwa hapa nchini. Hii ni dharau kubwa sana. Bahati nzuri hawa wore nawafahamu, na nina waheshimu sana, lkn kwa mwendo huu naanza kujiuliza kama nilikuwa sahihi.
Back
Top Bottom