Mimi ni chawa wa kweli kwa Mama, sisi tunasema Oktoba tuna tick✅✅✅✅. Gharama za kuandaa uchaguzi kubwa sana tena sana huwezi kusema unaa cancel uchaguzi kirahisi namna hiyo.
Matusi ya nini???? Hakuna jambo Mkurugenzi anaweza jiamulia. Kila jambo lazima lipitie vikao, ndiyo maana ya kuwa na diwani kama muwakilishi toka mtaani kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.