Tanzania Tanzania Nchi yangu Niipendayo sana inanipa wakati mgumu sana katika maamuzi yangu binafsi ninapoifikiria Tanzania.
Tanzania Tanzania Nihurumie Mpenzi Tanzania!!!
Mnyonge Mnyongeni Ilaaaaaaa sasa akiitambua haki yake Hakika utampaaaaaaaaa TU
Huyu muungwana alishazoea tangu kipindi cha chenkapa manake simnakumbuka alikua ndo B.Membe wa sasa.Afu hataivyo mimi nahisi anaingia hapa DC kutafuta wawekezaji wengine.
Nina machungu sana na hao wawekezaji waliopo bongo hasa mikoa fulani fulani nchini kwetu kwa mambo wanyoyafanya ikiwemo na...
Hata tukiing'ang'ania CCM kama chama tawala - hakuna siku hata moja watanzania walio vijijini watapata auheni ya maisha yao - hawa watu wote ni mafisadi kuanzia kwa mshikaji hadi ngazi ya chini kabisa na ni wasaani wa kutupwa
Mnyonge mnyongeni ila sasaaaaaaa,haki yakeeeeeeee MPENI...
Lakini jamani naomba tusiwe bayasi kwa hili.Hivi katiba imezuia wanawake wasifikie hiyo asilimia hamsini?Mimi nadhani katiba kwa hapa tunaipa lawama ambazo hazistaili kabisi.Hivi ikitokea mwaka 2010 wanawake bungeni wakawa ni asilimia 60 na wanaume asilimia 40 ni nini kitatokea.
BUNGE...
Mzee mwana k - Nashangaa kusikia wewe unajua kwamba wametimuliwa ila mimi binafsi naelewa kwamba hawa watu wamepewa likizo ya lazima ili kuendelea kutengenezewa visanga baada ya hapo ndo watimuliwe ila binafsi nadhani kabla ya watu hawa kupoteza kazi zao kwa kutetea mabillion ya walala hoi sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.