Habari wana MMU,
Kwanza poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa,
Ndugu yenu nimepoteza furaha yangu kabisa na sijui la kufanya ili nirudishe furaha yangu, nitakribani wiki 2 hivi sasa nimekuwa na tatizo hilo na apa ndipo nimeanzia kukiri ya kuwa kupenda ni maradhi ya moyo, katika pita pita...