Mkuu sina akili ya kukutana tu na kutongoza apo apo,japo nilisha sema nae na akajibu ni mapema sana, na mimi amekaa kwenye akili yangu adi nahisi kupoteza furaha yangu na ndo mana nauliza kipi nifanye nirudi normal
Habari wana MMU,
Kwanza poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa,
Ndugu yenu nimepoteza furaha yangu kabisa na sijui la kufanya ili nirudishe furaha yangu, nitakribani wiki 2 hivi sasa nimekuwa na tatizo hilo na apa ndipo nimeanzia kukiri ya kuwa kupenda ni maradhi ya moyo, katika pita pita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.