Naweza kufanya kazi kwako vizuri tu coz mimi hata nikipata mtaji wangu haitaathiri kazi yangu coz ninao watu wanaoweza kusimamia bila ya kuwepo mimi
Kikubwa hapa ni nyenzo ndo inahitajika boss
Habari ndugu zangu naitwa Charles mimi naomba mwenye connection ya kazi/ kibarua cha halali anisaidie kuniunganisha kwa maeneo ya Dar es Salaam maana nilikuwa nafanya biashara sasa kulingana na ya uchumi mtaji wangu umekata.
Nipo hapa kuwaomba ndugu zangu mnisaidie nipate kazi ili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.