Recent content by charlesfundi

  1. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Bro uko sawa ulisemalo but stop don't day that kwenye huu uzi wangu unaweza anzisha thread yako na ukaliongelea ilo am sorry kwa kuandika hivi acha ambao wanazitumia waendelee kuamini usilete taharuki na ndio maana ata ndugu zetu wa afya wanazitumia ila asante kwa mchango wako hapa
  2. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kabisa mkuu PEP zinasaidia nina mwezi toka nimemaliza na majibu bado yoko poa nimebakiza mwezi mmoja tu ku conculude
  3. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Mkuu acha kabisaa nilikua nazigonga ontime kabisa na alarm juu sema ndo ivyo ti stress zinanimaliza kichizi
  4. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Dhaaa mwana nina mafua na runny nose haviponi mwili kuchoka na joints kuchoka pia na kikohozi kikavu ila nimepigwa na stress balaaa sitoka nisahau kilo zimetembea kwa spidi sana
  5. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Dhuu mzee mimi nimekua muoga sana maana kunadalili nakua nazipata ndo zinazidi kunitia hofu
  6. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Mkuu kwa uzoefu wako inabidi nipime kupata uhakika baada ya muda gani baada ya PEP
  7. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Habarini wa Jf imepita sasa takribani week7 na nusu niko week ya 8 baada ya kuishi kwa msongo mkubwa sana wa mawazo kupelekea afya kudhorota na ufanisi wa kazi kuwa mbovu baada ya kuyatimba kwa mdada ambae anamoto aka umeme bado naendelea kumuomba Mungu. Nimeleta mrejesho huu nitumaini nitapata...
Back
Top Bottom