Bro uko sawa ulisemalo but stop don't day that kwenye huu uzi wangu unaweza anzisha thread yako na ukaliongelea ilo am sorry kwa kuandika hivi acha ambao wanazitumia waendelee kuamini usilete taharuki na ndio maana ata ndugu zetu wa afya wanazitumia ila asante kwa mchango wako hapa
Dhaaa mwana nina mafua na runny nose haviponi mwili kuchoka na joints kuchoka pia na kikohozi kikavu ila nimepigwa na stress balaaa sitoka nisahau kilo zimetembea kwa spidi sana
Habarini wa Jf imepita sasa takribani week7 na nusu niko week ya 8 baada ya kuishi kwa msongo mkubwa sana wa mawazo kupelekea afya kudhorota na ufanisi wa kazi kuwa mbovu baada ya kuyatimba kwa mdada ambae anamoto aka umeme bado naendelea kumuomba Mungu. Nimeleta mrejesho huu nitumaini nitapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.