Recent content by Charles Paul

  1. C

    Kampeni Meneja wa Lowassa Ndani ya TAKUKURU

    Taarifa ya kwanza ya TAKUKURU kuhusu saga la Richmond ambayo ilichakachuliwa na Hosea ilimtaja Lowassa kama muhusika mkuu na alitoa maelekezo kupindisha procedures muhimu hivo hana jinsi kinachofuata ni kubeba ndoo kwenda Keko kunamsubiri tu maana hakuna namna nyingine
  2. C

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    Kwa sasa CDM ikizidi kumwandama ZZK ndivyo inavyopoteza mvuto na kumpa ZZK UMAARUFU. Inaonekana nia ya kumfuta uanachama ni ZZK apoteze ubunge, sasa uko ni kukomoana.
  3. C

    Wafuasi wa Zitto na Manazi wa CHADEMA: Tunajenga Nyumba Moja, Tunagombea Fito za Nini?

    Naona chadema inaongozwa zaidi na mihemuko ya kisiasa kuliko uhalisia wa uwanja wa siasa. Kwa sasa ZZK yuko juu ya CDM kwa karata zake za Escrow na uenyekiti wa PAC. CDM kwa sakata la Zitto imebugi kabisa na siyo siri imepoteza mvuto. Wanaojilidhisha na hatua ya CDM dhidi ya ZZK NI MAHAFIDHINA...
  4. C

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Angalau kwa sasa ZZK anaonekana na ndivyo ilivyo ndo DJ wa muziki wa Escrow & mafisadi, huwezi ukatangaza kumfukuza DJ na ukategemea kuendelea kucheza muziki uleule kwa vionjo vilevile. Bahati mbaya sana kumtimua ZZK chadema kwa wafurukutwa waliowengi inaonekana ni kumuonea gere na kumkomoa kwa...
  5. C

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Vyovyote mtakavyosema haisaidii kumfukuza ZZK kwa sasa ni uchuro kwa CDM, na katiba ya CDM endapo ina kipengele cha kuzuia mwanachama kwenda mahakamani kudai haki, basi katiba hiyo ni mufilisi. Kwa hili la ZZK ni matunda ya kuwapa radicals nafasi ya kuwa leaders, kwa watu makini na hali halisi...
  6. C

    Tafakuri Chokonozi: Mahakama imegeuka adui wa Zitto?

    Siamini kama CHADEMA ndo wanatetea katiba bora ilhali katiba yao ina kifungu ambacho kwa namna moja ama nyingine kinafanana na kile cha katiba ya FIFA hakuna kwenda mahakamani na ukienda cha moto utakioana, jambo hili inaweza ikawa kete kwa CCM na kuwachanganya wananchi waliowengi ikionekana CDM...
  7. C

    Afisa Usalama (Hemed Sabura) na Afisa Utawala (Benson Mramba) wa CHADEMA wanashikiliiwa na Polisi

    Tafadhali sana epukeni hoja za udini na ukabila hazijengi ila zinabomoa. CHADEMA ni chama cha kitaifa, period.
  8. C

    Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...

    Kwa sasa ni mnyukano kati ya wanaomuunga mkono ZZK na wale wanaompinga ndani ya CHADEMA jambo ambalo halijengi Chama kwa sasa zaidi kubomoa tu, haingii akilini kwa Mh John Shibuda kupeta na Zitto Kabwe akatimuliwa. Sasa viongozi wa juu wa CHADEMA kwa nadhalia ya collective responsibility...
  9. C

    Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...

    Shida kubwa inakuja panapotokea radical akapewa uongozi wa juu katika Chama ama taasisi, kila analoamua atafanya kwa element za uradical na maradical wenzake watamshangilia.Na bila kupepesa macho Mh Tundu ni aina ya kiongozi ambaye ni radical, tabia yake hiyo kuna mahali inafaa, lakini kwahili...
Back
Top Bottom