Yeah Mara nying hua n fain tu, labda kama katika uchunguz wa afisa ustaw utaonyesha kua mshtakiwa ameshafanya kitendo hicho zaid ya Mara moja bas hapo wanaweza wakampeleka kwenye hzo shule shule maalum
Hapo kesi IPO. Kama itathibitishwa kua kulikua na penetration. Na wakithibitisha n daktari. Na kwa kesi kama hiyo ambayo wahusika wote n watoto Ina maana itapelekwa kwenye mahakama za watoto (juvenile court), na kama mshtakiwa atakutwa na hatia yaan Huyo mtoto. Mahakama inaishia kumtia Haitian...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.