Nipende kuwakumbusha kuwa Mfumo wa Viwanda vingi vyenye tija na vinavyosapotiwa na wazawa na kuanzishwa na wazawa wa nchi huleta positive results hasa bidhaa zikiwa zenye quality na kukubalika ktk Soko la kimataifa Duniani
Anamuunga mkono ktk swala zima la kukataa chanjo,japo hawez kusema Waz kuwa chanjo si nzuri ila anasema ukihitaji ku chanjwa sawa na ukikataa sawa hakuna mtu anayekulazmisha
Nakusalimu kwa sauti kubwa ukapate kunisikia sikioni mwako,sina ukamilifu wa kutosha ila moyo unaniuma sana kuhusiana na ghazabu wanazozipata watoto wa nje ya ndoa
Mtoto wa nje ndoa ni yupi?
“Aliyezaliwa kabla ya baba na mama hawajaoana,alizaliwa bila ndoa na baadaye mzazi mmoja akaoa ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.