hakuna anaye jaribu ku oppress., wananchi wangejua ukweli kuhusu siasa chafu zetu na ukweli juu ya viongozi wao na uwakilishi was dhati kwa maslahai ya nchi na wananchi, haya wote yanao andikwa yasingekuepo.
Lini tumeona mazuri yakaandikwa?
Je mnajua kuna mpango kabambe wa kuhamashisha wananchi na viongozi wa vijiji kutolewa madarakani lil waingize wengine wenye mrengo tofauti wa kisiasa kwa manufaa Yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.