Jamani naomba kujua kama kuna mtu amewahi uza vitunguu miezi ya januari na februari, Bei zake huwa zikoje?? mwenye taarifa sahihi anisaidie bei huwa zikoje miezi hiyo
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sana kuhusu kilimo cha vitunguu, kila mtu akitoa uzoefu wake. kila mtu anatoa taarifa zake, wengine za kutia moyo na wengine za kukatisha tamaa. Hivi ukweli ni upi jamani, maana mpaka sasa nimeshindwa kuelewa kwamba ni kilimo chenye faida au hasara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.