Hivi kwanini wana ccm mnapenda sana kumtetea Zito? sijawahi kuona hata kusikia ata siku moja ccm wakiinenea mazuri CHADEMA. lakini kwenye hili suala la Zito CCM mmesimama kidete kumtetea sijui mnamaslahi nalo gani. lakini pia hata vitabu vya MUNGU vinasisitiza kumpenda jirani yako lakini sio...
kinana kaanza uhuni wa kufanya siasa vyuoni, na huu ndio ushahidi wa yale yakataa. lakini yote ya yote huu ndio wakati wao wa kuteketea wao pamoja na chama chao hata wakifanya mikutano ya chumbani.
Nafikiri hujajua maana ya bajeti chabruma naomba ukajifunze kwanza ukisha elewa ndipo urudie kuweka thread kwenye mtandao sio kukurupuka kiasi hicho wakati jambo hulijui.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Rais kikwete amekiri kuwakopa wanchi hasa wa wilaya ya Ludewa mazao yao ya chakula ( mahindi) na kuahidi waendelee kusubiri kwani serikali haina fedha za kuweza kulipa deni hilo. Mpaka sasa serikali inadaiwa Tshs. bilioni 27 za mazao hayo. na ameahidi kulipa sh...
Katika hali isiyo ya kawaida Rais Kikwete akimbia maswali wakati wa hotuba ya majumuisho ya ziara yake ya siku tano katika mkoa wa njombe. asema ameongea kwa muda mrefu kwahiyo yatosha. watu wamshangaa.
Ili watu wa mkoa wa Njombe wasiwe kama wa Mtwara, ni vema Rais katika ziara yake hii ya mkoa wa njombe akaweka wazi juu ya utata wa mikataba yote ya madini yanayoendele kuchimbwa Maeneo mbalimbali katika mkoa wa Njombe.
Kwasababu tunaona dhahabu inachimbwa Wilaya ya Njombe kijiji cha Uliwa...
CCM Wilaya na Mkoa wa Njombe umepata pigo kubwa la kufiwa na Diwani wa kata ya njombe mjini na ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM. Na ndiye alikuwa kiongozi anayetegemewa na CCM kwa Njombe kwa ujumla wake.
Kupitia kifo hiki, viongozi wa CHADEMA njombe kwa ujumla wao wameenda msibani...
Wananchi wa Njombe mjini wametangaza kupotelewa kwa Mbunge wao wa Njombe Kusini huko Dar na wametangaza zawadi nono kwa yeyote atakaye fanikisha kupatikana kwa Mbunge huyo au wapeleke taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilichopo jilani kwa wale wenye taarifa za Mbunge huyo.
Tuwapongeze hawa waheshimiwa wetu kwa kazi kubwa ya kujadili hadi kupitisha muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2013. kwakweli ilikuwa kazi ngumu kujadili hatimaye kupitisha muswada huu tunahaki ya kuwapongeza.
Naafikiana na wee kabisa kwasababu haiwezekani hata kwa sekunde moja PANYA wakawapenda PAKA hata wangekuwa wazuri, wapole na watulivu kwa kiasi gani. Unaweza kuwa shahidi wa hili, CCM kwenye ilani yao ya uchaguzi ya mwaka 2010 hakuna sehemu hata moja waliposema wataandika katiba mpya ama...
Halmashauri ya mji Njombe imekumbwa na kashfa kubwa ya matumizi mabaya ya fedha ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2012/13 hasa kwa miradi ya barabara. Inaonyesha katika maeneo ya mjini zilitengwa Tshs.210,000,000/ kwa barabara zote zichongwe kwa kiwango cha changalawe (kifusi) lakini...
Kamanda wa anga mh. MBOWE akiongozana na TUNDU LISU na JOHN MNYIKA watavamia na kushambulia mji wa Njombe katika viwanja vya NHC- Njombe mjini siku ya tarehe 23/8/2013 baada ya kupeleka siku moja mbele kutoka siku ya awali ya tarehe 22/8/2013. hii ni miongoni mwa ziara zake za mikutano ya balaza...
Mtendaji wa kata mojawapo Wilayani Ludewa alifikishwa mahakamani kujibu kesi inayomkabili ya kuomba na kupokea rushwa,pia Jana tarehe 13/5/2013 Katibu tawala wa Wilaya ya Njombe na mhasibu wake walifikishwa Mahakamani kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za serikali. Sijui kwa mtindo huu CCM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.