Nyerere alkua ana akil sana..Nch za wenzet hakuna redio za uchuara wala magazet ya udaku wakja kwe2 huwa wanakosa magazet yanayohusu kujenga nch km ya kwao..Cku nkckia imefungiwa h redio na kupewa taasis yoyote ya mazngra au klmo il iitumie kuelmisha watanzania maana ndio k2 kinachotakiwa...
hiki kredio uchuara knachochangiana na nchi za nje kuharbu taifa il waje kututawala n cha nan?..knajaza mawimbi hewan tuu..Ndo maana alkua anakataza vyombo huru vya habar maana aljua athar zake..Nitumen nikajtoe mhanga pale 2katekeze kabsa maana 2kfuata sheria watatoa rushwa..Watanzania wenzangu...
N haibu kuwa na chombo cha habar ambacho cku nzma hakiongelei suala la kuijenga nch yetu maskn hv..km vyombo vya habar vngekua vnahmiza vjana wasome na kufanya kaz kwa bdii hawa vjana wangeelewa na kua hvyo..Lakn hch kredio knafundsha Ushalabalo ambao unafanya vtoto vnafel vnabak na vsifur vyao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.