Mapitio ya Change Tanzania kwa maazimio ya kamati ya PAC na maoni juu ya hatua zaidi
Change Tanzania tunatoa shukrani kwa Watanzania wote wanaoendelea kusaini tamko la kutaka uwajibikaji kamili wa serikali na bunge dhidi ya wote waliohusika katika ukwepuaji wa pesa zilizokuwa katika akaunti ya...
Shurkarani wadau kwa kuhamasishana, sasa tuna sahihi zaidi ya 1,000 .. shughuli bado pevu .. huku tukiendelea kutega masikio na kuelekeza macho Dodoma tusisahau kuhabarishana kuhusu petition hii
Wito kwa Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: KUHAKIKISHA UWAJIBIKAJI KAMILI NA PESA...
Wadau tunashukuru sana maana sahihi zinazidi kumiminika kama wapo ambao bado basi waweke hapo maana hatujui sakata hili litaisha vipi. Tunachohitaji tuwe na sahihi za kutosha tumpelekee Rais aone safari hii hatukubali mpk tuone UWAJIBIKAJI KAMILI
Bofya hapa uweke jina na email yako.. hiyo ndo...
Asante kwa kuwakumbusha watanzania uwajibikaji, maendeleo ya nchi yanatokana na tabia au mitazamo ya wananchi wenyewe, ni wakati sasa kushiriki mambo muhimu yanayilihuru taifa letu
Safi, tunatakiwa kushikamana ili kuimalisha umoja wa wananchi uliopotea, ni wajibu wetu kama wananchi kusimamia nchi yetu, tumeibiwa sana sasa imetosha
Report ya PAC ufisadi wa #TegetaEscrow https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/764613-uwasilishaji-wa-ripoti-ya-pac-kuhusu-tegeta-escrow-account.html
Ripoti ya PAC imesomwa .. sasa tuhakikishe serikali kesho inawajibika na kuwawajibisha wahusika wote la sivyo bunge lipitishe azimio na haki itendeke!
Msisahau kutupia sahihi zenu hapo
Wito kwa Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: KUHAKIKISHA UWAJIBIKAJI KAMILI NA PESA ZA UMMA...
Ni wazo zuri na labda tukiweza kupata sahihi za kutosha ndani ya wiki hii tunaweza kuwatumia mahisani na kuwaonyesha kwa vielelezo kile tunachotaka hivyo kusaidia kuongeza presha au msukumo katika kuhakikisha uwajibikaji kamili unafanyika
Sisi kama wananchi tunaweza kuwawajibisha, hakuna serikali inayokaa madarakani bila UKUBARI wa wananchi, tuki saini na kuonyesha ummoja watawajibika tu, Nchi zilizoendelea zinatumia petition kama ishara ya kuonyesha ukubwa wa jambo, tusaini kwa nguvu zote kuonyesha msimamo wetu.
Ni wakati wa...
Kuratibu maandamano sio shida, kumbuka ni maandamano yetu sisi sote kama wananchi, hivyo basi kusaini hii petition ni kuonyesha ummoja wetu,
Kwa nchi wanazojari maendeleo yao vitu kama petition is a key kuonyesha msimamo wao, sisi tunakapokusanya sahihi za kutosha tunaweza ziwasilisha...
Wananchi tunatakiwa kuwa wakali, mambo mengi ya ovyo yanatokea tunahacha tu yanapita, ni vyema ku saini hii petition ili kuonyeshe msimamo wetu kama wananchi.
Tusisubiri wajiwajibishe maana wanaweza wasifanye hivyo, tuweke msukumo ili wawajibike
Wakati mwingie mambo mazito kama hayo yanahitaji extra push, ni kweli wakumbuke wajibu wao ila wasihache kuwa wakali, !!! kama ni wakati wa kuwa wakali ni sasa, wizi umefanyika sana na kujirudia rudia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.