JAPO MPAKA SASA JAMIIFORUMS NA UZI HUU KUMEKUA NA MASIHARA BILA UTU UZIMA NA WAHITAJI, NISEME NENO MWAKA WOWOTE ULE MWENYE UHITAJI AKIONA UZI HUU ASOME VIZURI USHAURI WANGU KUNA KITU ATAKIPATA.
GOODBYE 👋
Labda nitoe elimu kidogo.
Kuna watabibu wa mitoshamba wa aina 3 au zaidi.
1. Wa mizimu NA masharti ( hawa sio wazuri pia sijawahi kwenda)
2. Waganga wa kibuyu (hawa ni kama wachawi tu)
3. Wasoma kisomo/masheikh
Wanajua dawa za sunna na mizizi ya porini ( WA AINA HII NDIO ALIENISAIDIA)
Yes, afafanue mana hata mimi sijamuelewa hua naskia kuna watoto wa masharti wa waganga wa mizimu na kibuyu, (HUKO MIMI SIJAENDA) MIMI NIMEENDa kwa MUISLAMU WA KISOMO NA MITISHAMBA
Hayo maneno wengi wanakosea, HAKUNA MTOTO WA DAWA LABDA UWE UMEENDA KWA MGANGA WA KIENYEJI WA KIBUYU ( WA MASHARTI) SIWEZI NIKAZUNGUMZIA HILO MAANA SIJAWAHI KWENDA HUKO.
SIKILIZA YA DUNIA.
HAKUNA DAWA INAYOTUMIWA MTU APATE MIMBA NEVER! MIMBA NI YAI LINALORUTUBISHWA NA MBEGU ZA KIUME HAKUNA...
HAPO SASA LIMETIMIA NENO, USIMWAMBIE HAYA MAMBO MTU ASIEKUA NA HIUO EXPERIENCE.
KWETU TIBA HUFUATI MIMBA/MTOTO
KULE UNAFUATA TIBA KUTOA KIKWAZO ILI UTAFUTE MTOTO BILA KIKWAZO/KIZUIZI KILICHOKUWEPO.
HAKUNA MGANGA WALA YOYOTE YULE ANAETOA MTOTO.
Siwezi weka namba ya mtu mtandaoni, pia mimi sio mtumiaji sana wa jf lakin nilikua kwa ajil ya kuomba ushauri tu nilisikia watu wa hapa wema, nitakua naingia kila nikipata mda
Mwaka jana niliandika uzi hapo chini
https://www.jamiiforums.com/threads/nimeishi-na-mwanamke-miaka-mitatu-bila-kupata-mtoto-nifanyaje.2376687/
Japokua msaada sikuupata kutokana na mtu wa hapa jf lakini nawashukuru wote, pamoja na wengine waliochangia kwa masihara.
Ukiwa na jambo lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.