Recent content by Chanazi

  1. Chanazi

    Kiwanja Chenye square meters 290 kinafaa kujenga nyumba?

    Ghalama inategemea na eneo ulilopo! Mpe kazi fundi akupigie hesabu
  2. Chanazi

    Kiwanja Chenye square meters 290 kinafaa kujenga nyumba?

    Kikubwa sana icho!! Hicho changu 190 natoa apartment 2 na frem za maduka tatu na parking ya gari mbili
  3. Chanazi

    DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

    Nashangaa !! Wamepeana watu wasio ja uhitaji , mtu tayari ana makazi na viwanja lukuki kaona bime gaiwa kaona fursa anunue akivundike asubilie kiive auze
  4. Chanazi

    DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

    Hapana sio kweli, watu wana nunua na kujenga Mkundi hadi sangasanga hawawezi kushindwa katikati ya Mji
  5. Chanazi

    DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

    Yaani watu watakua wote wame ambiana wasi endeleze basi hili eneo, au kuna tatzo kwenye aina ya watu walio uziwa ( Madalali)
  6. Chanazi

    PreGE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

    Diaspora au upo Likuyufusi? Maana endeleeni like hayakuhusu 😂
  7. Chanazi

    PreGE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

    Serikali ina fanya kazi kwa mfumo na umuhim (Priority) ni kazi ya Wabunge, Madiwani kujenga hoja ili maeneo yao yapewe kipaumbele kwenye miradi ya maendeleo!! Bila hivyo mnaonekana hamna vipaumbele wanapewa wenye navyo!!
  8. Chanazi

    PreGE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

    Hatari sasa pata picha zile za barabarani kabisa ukiingia ndani ndani huko aibu kubwa !!
  9. Chanazi

    PreGE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

    Hatutegemei kumaliza matatizo yote, lakini yale yaliyo kwenye uwezo wa Mbunge na Madiwani haiwezekani kufumbia Macho, suala la barabara za Tarura kuwa mbovu na uwepo wa Mapori katikati ya Mji ni vitu vinavyoweza kurekebishwa kwa level ya mkoa!! Hadi rukwa wana barabara za Mitaani safi kabisa...
Back
Top Bottom