Yote yanawezekana mkuu...dunia ina siri nyingi sana na hakuna wa kumwamini
China's Coronavirus: A Shocking Update. Did The Virus Originate in the US? - Global Research
Naon na wanasayansi wa Japan walisapoti kuwa yawezekana chanzo kikawa USA na hilo la mutation unaloongelea pia limetokea
Wataalam wanasema genome za virusi vilivyopo China ni tofauti na virusi vilivyopo Iran na Italy so China siyo chanzo cha hivyo virusi. Ila aina zote tano za corona virus zipo USA ndiyo maana inasemwa wanajeshi wa USA walioenda Wuhan kwny michezo Oktoba 2019 walikuw n maambukizi tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.