Recent content by Chamba's son

  1. C

    Hii ndio nchi iliyoundwa na Nyerere pamoja na Karume?

    Ila ukweli watu hatumwogopi Mungu, hao hao ndo walipiga kelele kuwa tunawatukana waasisi wa muungano leo unaikataa nchi ya Tanganyika kuwa haipo bali kuna Jamhuri ya Tanzania nini Maana yake?
  2. C

    Hii ndio nchi iliyoundwa na Nyerere pamoja na Karume?

    Mimi ni Mtanganyika naweza sema nina huzuni juu ya Wazanzibar ambao mko tayari kwa nchi yenu kuwa Koloni la Tanganyika ambayo kwa kudhihirisha hilo Rasimu ya Sitta inasema JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI NCHI MOJA INAYOUNDWA NA NCHI MBILI NAZO NI JAMHURI YA TANZANIA NA ZANZIBAR, je ni kweli...
  3. C

    Hesabu yangu ndogo juu ya kura za Bunge la katiba kutoka zanzibar

    Mi nasubiri hili picha la kihindi nione linavyoishia huku nikisubiri kupiga kura yangu ya Hapana kama mwananchi
  4. C

    Hesabu yangu ndogo juu ya kura za Bunge la katiba kutoka zanzibar

    Kwa mujibu Tangazo la Samwel Sitta Jumatatu 29/09/2014; Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la Katiba = 629 Wanaotoka Tanganyika = 419 Wanaotoka Zanzibar = 210 SASA TUIANGALIE ZANZIBAR PEKE YAKE; Theluthi mbili (2/3) ya 210 = 140 Theluthi moja (1/3) ya 210 = 70 Kwa hesabu ndogo tu hapo ni kwamba...
  5. C

    Continuing student SUA soma hapa

    Bado mna swali?!? Halafu msipende kudharau kila kitu ama mtu usiyemjua!!
  6. C

    Continuing student SUA soma hapa

    Haya tangazo ndo hilo hapo!!
  7. C

    Je Unajua Aliyevujisha Post?

    Jamani iko hivi ni kweli jumamosi usiku ya wiki iliyopita TCU waliweka system yakuangalizia Post lakini ilipofika jumapili alfajiri wakaifunga hii sio kwamba walivujisha Post bali walikuwa wanahakiki kama System iko sawa na ndo Maana ilifungwa sasahivi itafunguliwa baada ya kuwa wamekwisha...
  8. C

    Bachelor of Science in Horticulture, SUA

    Agricultural engineering inahusiana na ujenzi wa muundo mbinu ya kilimo ikihusisha kilimo cha mazao na ufugaji, so nayo pia ni kozi Nzuri ila changamoto zake ni kwanza unasoma miaka minne ingawa sio changamoto kubwa sana kwa anayejua kilichompeleka, pili niwe muwazi ingawa kozi zote za SUA ni...
  9. C

    Tujuzane kuhusu HESLB, CRDB wameni sms

    Kijana hata SELECTION hazijatoka, hujafanya registration chuoni sasa CRDB wakutumie SMS ya nini Kwani nani kakwambia CRDB pekee yao ndo wanapokea na kutoa boom kwa wanafunzi? So tulia kabisa mpaka majina ya waliopata mkopo yatoke then SELECTION za vyuo zitoke ndipo ukaripoti mtapofungua chuo...
  10. C

    Bachelor of Science in Horticulture, SUA

    UGARI MAHARAGE uko sawa kabisa katika maelezo yako kwa ndugu yetu, karibu sana SUA lakini ni eneo zuri la kujiandaa na Maisha ya baadae!! Mimi niko pale WILDLIFE MANAGEMENT, Karibu sana
Back
Top Bottom