Recent content by chama konokono

  1. chama konokono

    Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

    Huyo ni chawa tu kama kina Mwijaku na Babalevo, kula yake ni paka alambe miguu ya GSM
  2. chama konokono

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Namimi nipo njiani kukufata mkuu
  3. chama konokono

    Ureno yatoa sarafu yenye picha ya sura ya Cristiano Ronaldo

    Serikali ya Ureno imeripotiwa kuwa imetoa sarafu yenye picha ya sura ya Staa wa Taifa hilo Cristiano Ronaldo (39) kama ishara ya kutambua mchango wake katika Taifa hilo. Sarafu yenye sura ya Ronaldo inajulikana kwa jina la “CR 7” na thamani yake ni euro 7, serikali ya Ureno imefanya hivyo...
  4. chama konokono

    Haji Manara ni Simba damu, mnampaje kazi ya kuisemea Yanga?

    Hii move naona km Eng Hersi anataka kujifunga goli mwenyewe
  5. chama konokono

    Yanga amkeni, Mchuzi wa Mbwa hunywewa ukiwa bado Wamoto

    Hili hata mimi nimeliona, tuzo zitolewe sasa hivi
  6. chama konokono

    Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

    Mwitikio wa mashabiki wa yanga ni mdogo sana
  7. chama konokono

    Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

    Ushindi kwa yanga siku hizi sio story tena
  8. chama konokono

    Afande Muliro: Ukivuruga paredi la Yanga tutakushughulikia

    Hakuna timu duniani iliyowahi kukaa top muda wote, tambeni tu ila msije sema hatukuwaambia
  9. chama konokono

    Kwa Fiston Mayele na Kibwana Shomary sawa Wasajilini kama Kweli, ila kwa huyu Ayuob Lyanga hakuna Mchezaji hapo na achaneni nae tafadhali

    Scouting ya Simba huwa haitafuti wachezaji wengine maeneo mengine ya Afrika zaidi ya hawa hawa ambao tumeshawazoea na hawana maajabu?
  10. chama konokono

    Afande Muliro: Ukivuruga paredi la Yanga tutakushughulikia

    Ni wakati wenu, tambeni muwezavyo lakini mkumbuke kuimba ni kupokezana, msije sema hatukuwaambia
  11. chama konokono

    Simba msipotezwe na Miluzi ya Yanga, Mchezaji asiyetaka kuendelea kubaki aachwe

    Kwenye mpila wakati ukikupita ndio basi tena, leo mess hayupo tena Barcelona, Ronaldo leo hii hayupo tena madrid
  12. chama konokono

    Simba msipotezwe na Miluzi ya Yanga, Mchezaji asiyetaka kuendelea kubaki aachwe

    Huu ni mtego, Hawa utopolo hawana nia yoyote yakusajili wachezaji wa Simba. Wanachokifanya ni kuupanikisha uongozi wa Simba ili ufanye makosa tena na kuwapa mikataba minono wachezaji mizigo kama kina chama, kibu d na saido.. Timu haijatimiza malengo, badala wachezaji wakatwe mishahara kwa...
  13. chama konokono

    Kama Yanga watajenga Uwanja hapo Jangwani basi Mo Dewji hastahili kuendelea kuwepo Simba

    Mchawi wa Simba ni mashabiki wake, Rage alivowaita mbumbumbu aliona mbali sana
Back
Top Bottom