Recent content by Challenge Sumia

  1. C

    Lipumba afungua akaunti mpya ya benki ili kupata ruzuku ya CUF

    Labda tuangalie katiba ya CUF Kwa kina zaidi na tusichukue kifungu kimoja, katiba inaweza ikatoa mwanya sehemu fulani halafu ikakunyima upande mwingine, hivyo tusiwaone kama wendawazimu. Mkutano Mkuu huchagua mwenyekiti, na baraza kuu halafu baraza kuu ndio linalo mchagua Katibu Mkuu na ndio...
  2. C

    Lipumba afungua akaunti mpya ya benki ili kupata ruzuku ya CUF

    Unapotoa hoja wewe mwenyewe usiwe umeiconclude tayari, waachie wadau jf wachangie.
  3. C

    Wafanyakazi wote wa serikali watumie ATCL, ikiwa imejaa ndipo wa-book ndege nyingine

    Kwa kweli kama ni safari za ndani ya nchi ingependeza zaidi na kulikuza shirika let. Tuwe wazalendo.
  4. C

    Hiki ndicho kinachomfamya Prof. Lipumba kuing'ang'ania CUF na sababu ya kuukana UKAWA

    Hayo ni mawazo finyu kabisa. Kwani sisi wapinzani hatukuwa na mtu wa kumweka kama mgombea ukiacha Dr Slaa na Prof. Lipumba, mpaka tumweke mabaki CCM. Kama ni hivyo hakuna Upinzani Tanzania.
  5. C

    Fatuma Karume: CCM just shoot in the dark

    This lady is very hopeless, I think she need the assistance, she doesn't know any thing with politics. Every party have its constitution and regulations which guide them with complying with the national constitution. The issue of CUF and other political parties is that they don't follow its...
  6. C

    Kadiri muda ulivyosogea ndivyo wakosoaji wa Magufuli walivyozidi kuongezeka

    Tatizo sio kukoselewa kwa yale yasiyokuwa maana, ila hata mazuri machache anayofanya wengi wenu hamjawahi kusifia. Mie nadhani watanzania tumelaaniwa, kwa miaka 10 tulikuwa tunaulaumu utawala wa JK na sasa mmegeuka na kumwona JK ni mzuri. Duuuh ama kweli MUNGU ameilaani hii nchi. Tatizo...
  7. C

    Msajili wa vyama vya siasa: Sikumrudishia Lipumba uenyekiti CUF

    Ninyi wote mnaomnanga Jaji Mutungi, hamjui huyo jamaa yuko makini mno katika kufanya jambo, na ninamfahamu mno toka tukisoma wote na mpaka alikofanya hivyo huo ujaji wake sio wa kubabaisha, ila kwa kuwa humu ndani mpo zaidi kiushabiki na uhuru wenu kuongea, mnapost tu, tena wengi wenu "form six...
  8. C

    Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

    Wee unayejiita sijui Nwaigwe, hivi kwenu ulikuwa unapikia gesi au umeme? Si bahati kuolewa na bwana mwenye kauwezo unashupaa mpaka mishipa ya shingo imekutoka kisa eti unakajiko ka gesi mtungi wa kg 6.
  9. C

    Mgogoro CUF kichekesho, nacheka wanavyochekesha

    Labda niwaambie mnakumbuka CCM walisema wana mbinu zaidi 100, na walizotumia ni chache sana, hivyo kuja kwa huyo Lowasa upinzani je mnategemea kuna jema kweli? Mnakumbuka Augustine Lyatonga Mrema mwaka 1995 hayana tofauti na ya haya Lowasa. Nakumbuka usemi mmoja kuwa "simba akionja nyama ya...
  10. C

    Wabunge wa upinzani wamhofia Dr. Magufuli

    Kama hakuna hoja kwa nini unajadili? Kweli I Q yako sio, huna tofauti na mwendawazimu anayegombana UKUTA.
  11. C

    Wabunge wa upinzani wamhofia Dr. Magufuli

    Kumbe au hujui hilo, na sio lazima awe yeye anaweza kutafuta wawekezaji kutoka nje na serikali ikamsifu na pamoja na wananchi wake.
  12. C

    Ethiopia nao wamenunua ndege za mapangaboi kama za Tanzania

    Hivi wewe kwa mawazo unafikiri ni bei gani, unajua bei ndege duniani. Kwa hiyo kwa mawazo yako uuziwe kiasi gani?
  13. C

    Ethiopia nao wamenunua ndege za mapangaboi kama za Tanzania

    Lazima tujue mwanzo mzuri. Mengine yatakuja itakapo fanya. Halafu hizi ndege ni kwa safari za ndani na nchi jirani tu. Hapo shirika likihitaji kujipanua zaidi kimataifa ndipo zitahitajika hizo jet.
Back
Top Bottom