Ni siku nyingi sana natamani kumiliki saloon ya kiume ya kisasa lakini kikwazo kikawa ni mtaji.. Lakini kwa sasa nimejikusanya na kupata million mbili., naomba msaada kwa yeyote mwenye uzoefu katika mazingira ya jiji la Arusha au Morogoro inawezekana au niendelee kujikusanya.
huyu dogo ni frst yr,,, nandonde alirusha kamba kwa marwa wa business law awafundishe business communication... sasa huyu dogo hajazoea mikikimikiki ya sua...
alaf huyu dogo hasomi hata almanac kwamba mwez wa tisa kuna mkutano mkubwa na wahudhuriaji wanahitajika... anahanya mapema sana alaf bado ue haijaisha.. hashangai kwann sua hamna president!... hahah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.