Inamaana apa unatengeneza UWITAJI utakapo uza kwa shilingi mia tano na ulinunulia mia tano yawezekana watu walikuwa hawanunui kwaajiri ya bei hivyo utakaposhusha wataama kule wako nunua wataambizana kuja kwako na watakuwa wanakuja kununua na vitu vingine kwa sababu ya hiko kitu uoni kama...
Asilimia kubwa ya biashara zinazokufa ni za wale watu ambao wanaomba mawazo mfano nna milioni Moja na laki tano nifanye biashara gani ?
Hizi biashara huwa hazichukui mda mrefu kwasababu mtu anafanya biashara ambayo Hana uzoefu nayo na sio Kila biashara Ina inauzika Kila sehem
UNAWEZA TUMIA...
Unaposema mtu ananya research adi msimu unapita ilo ni tatizo hawezi fanya research ndefu katika kipindi Cha msimu huo unao taka ufanya hio biashara research INAFANYWA kabla huo msimu Ina inasaidia kujua Kila msimu bidhaa gani huwa sokoni na wanunuzi ni watu wahali gani,na huwa soko lake kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.