Jaribu kusoma bila kuhukumu utaelewa makala imemaanisha nini, lakini pia tukumbuke kuwa "roho wachafu" tunawaruhusu wenyewe kwani tumepewa nguvu ya kuwashindi ila tu tunakosa maarifa kwa fikra tegemezi
Kinachonichanganya zaidi in kuona watoto wa shule za awali wakipewa monthly test huku wazazi tukitamba na 'A' za kwenye makaratasi kwamba mwanangu yuko vizuri.
Eti Choo Jamani, Dah!
Moja ya kampeni kubwa kabisa kufanyika katika nchi hii ni “Nyumba Choo”, kampeni inayohamasisha ujenzi na utumiaji wa vyoo bora katika kaya zetu. Haina ubishi, ni suala nyeti hili kwa kulinda afya katika jamii zetu, lakini ninapata ukakasi kidogo na kujiuliza, katika karne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.