Badilika style ya maisha yako , ila me nnae kama huyo lakin saiv anaongea normal 2 , just ni jambo la mda uscheke cheke sana usiongee sana afu kua straight yan mchane nigga hufagilii vyenye alivyo , mood swings ,
Bhana me niliachana na dada mmoja alikuwa mzinguaji sana yaani alizingua alikuwa amezoeana na masela zangu akaanza ushem shem si wakataka kummega akakubali nikamuacha.
Sasa nkapata pisi moja hiyo nimeanza nayo mahusiano ex wangu akaanza kumzoea si wakawa marafiki ndo akaanza mazoea nae wakawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.