Mtu wangu hizo ni moja ya sababu ya kumgundua mke mwema na wala sio demu mwema, maybe niulize kwanza lengo lako ni lipi, kuwa na demu au mchumba na baadae mke? Make kama ni mke aombe pesa kwa mpangilio na si kwa style ya kuchuna.
Unajua hata kile kitendo cha kulialia kama unavyodai ni kazi kubwa sana, hivyo si ajabu mtu kama huyo kumsaidia tu kama unania, mtu mkweli humwambia mhusika live kama inakukera make kuwa mwanamke si kigezo pia cha kujilizaliza.Hivyo Misemo kama HAKI SAWA AU WOMEN EMPOWERMENT iweze kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.