awali yayote nikupe hongera kwa kukubali.changamoto na kusimama tena weng huairisha kabisa, sasa hapo nashaa kitu ki1 mdondo haubagui jinsia ya kuku.
hivyo napata hofu kumwamin mtaalam huyo hembu badili mtaalam alafu tatizo watalam wengi wameishia kusoma notes2 hembu tembelea wafugaji zaid...
nihivi nipo mkoa wa SIMIYI wilaya ya MASWA kwa sasa vifaranga wa kanga sijaanza kwakua nina oda nyingi za vifaranga wa kuku huku namashine ni ndogo ndio nimeagiz kubwa
Kwa mahitaj ya mayai ya kanga yenye uhakika wakutoa vifaranga wasiliana nani nisipokua hewani waweza ni sms wasap kupitia 0717 209059 ila elimu ya ufugaj ni bure
KARIBU SANA NAFAS NDIO HII
jipatie mayai yakanga yenye uhakika wa kupata vifaranga unaweza ni sms wasp kama sipo hewan mana nilipo net inasumbua kias tumia 0717 209059
KARIBUN SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.