Recent content by chaga's girl

  1. C

    JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

    Shule Nyingi hazina viwango na sasa watu wengi hawajui kusoma na kuandika, watoto shule za kata na msingi kukaa chini hayo ndio maendeleo? mgao wa umeme kila kukicha, watu wanachota maji kilometer kadhaa, utasema hayo ndio maendeleo ndani ya 50yrs ya uhuru? wanawake wajawazito kubanana kwenye...
  2. C

    Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

    kwa kweli pongezi kwa Sitta, yani hawa watu wa Kenya, Rwanda, Burundi na Uganda, maeneo yao yamejaa mno kiasi kwamba hata ardhi ya kuwapa ndugu zao angalau wajenge hamna, wanachotaka zaidi ni kupata ardhi huku kwetu ili kupunguza msongamano walionao. big up Sitta hamna kusign hicho kipengele cha...
Back
Top Bottom