Lile jimbo nalifahamu vizuri mno ,tangia kata zake .nikweli kuna umeme wa uhakika ila nyumba zenye umeme kwa kwa makadirio ya juu hazijafika 10,000/= na ni wilaya nyenye watu maskini kiliko wilaya zote za mtwara.ila inaongoza kwa uzalishaji wa korosho.kule 90% ni wana cuf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.