Kilichowachafua watu no bandar. Kuludisha safu ambayo watu walikuwa ilifeli na ivi kukatika ovyo umeme ndio kabisa watu Wana juwa alikuwepo umeme ndie kaalibu kabisa Kama angendelea kalamagi kwa Sasa tungekuwa na umeme Tena Bei poa. Ila angeingia na safu ileile na Ayo yasingefanyika ,kwa mengi...
Kweli kilicho wapa nguvu chadema ni BANDARI TU wasingevuluga kwenye bandari wasingepata lakusema maaana watu walikuwa Awana habari nap, nawa watoto pendwa wa mwezi wa nne alikuwa anavuluga akachelewa kumtoa nae kachandgia ,Ila mama alikuwa kawashika vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.