Recent content by Chadseke

  1. C

    Kosa la Rais Samia ambalo watanzania wengi hawalitaki ni hili

    Kilichowachafua watu no bandar. Kuludisha safu ambayo watu walikuwa ilifeli na ivi kukatika ovyo umeme ndio kabisa watu Wana juwa alikuwepo umeme ndie kaalibu kabisa Kama angendelea kalamagi kwa Sasa tungekuwa na umeme Tena Bei poa. Ila angeingia na safu ileile na Ayo yasingefanyika ,kwa mengi...
  2. C

    Hesabu iliyomliza Abdul Nondo wa ACT Wazalendo huko Mbarali 63+40+2+1 = 70. Zamani angesingiziwa Magufuli!

    Baado ajasema mpaka aseme, kudadeki so wanawaona chadema wajinga wao ndiomarafiki na fisiemu
  3. C

    Waziri Doto Biteko kapelekwa Nishati kuangushiwa jumba bovu

    Amealibu na amekimbia bado lawama ziko kwake maana kamkuta kalemagi anaenda vizuri yeye kaja kalibu kasepa na maagizo Kama obama
  4. C

    Tundu Lissu vs Zitto Kabwe - nani ana uwezo wa kiuongozi?

    Tundu lisu mfananishe na mdini
  5. C

    Nimesikiliza Hotuba ya Rais Samia kiukweli ameonesha Uvumilivu mkubwa. Magufuli asingevumilia matusi!

    Kweli kilicho wapa nguvu chadema ni BANDARI TU wasingevuluga kwenye bandari wasingepata lakusema maaana watu walikuwa Awana habari nap, nawa watoto pendwa wa mwezi wa nne alikuwa anavuluga akachelewa kumtoa nae kachandgia ,Ila mama alikuwa kawashika vibaya
  6. C

    BoT zifungeni Bureau de Change zilizofungwa wakati wa Hayati Magufuli

    Inaweza ikawa kufunguliwa kwa izo nanyingine zinazo fanyakazi ndio mwanya wa kufilisi Dora nchini wanatowa ifazi kuu wanaficha uko
  7. C

    Kiboko cha EU lazima kituchape kuhusu Ngorongoro

    Warabu he mi saws
Back
Top Bottom