Mh. Salum Mwalim Naibu Katibu Mkuu CHADEMA leo yupo ndani ya Mtwara Mikindani atafanya kazi kadha katika siku ya leo.
1. Atawapa vyeti wana CHASO Mtwara ambao winahitimu katika chuo cha STEMUCO
2. Atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya MKANALEDI Mtwara Mjini
Wakazi wote wa Mtwara...
Wenzako waliokuwa na mawazo kama yako hasa kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa siku hizi hawatoi hoja kama hizi. Mfano Mtwara Mjini CUF imepata mitaa 36, CHADEMA imepata 16 na NCCR imepata 5. Nachingwea CUF imepata vijiji 13, CHADEMA imepata 12, CUF kina Diwani 1 na CHADEMA Madiwani 4...
Mtu mwenye akili na anayetafakari vizuri hawezi kuandika uzi kama wako.
Hebu tazama, CHADEMA tumenunua pikipiki mpya toka kiwandani kwa order maalum jumla ya 378. Zimegawanywa Majimbo yote nchi nzima. Magari kama unavyoona namba zake yakipita utakuta 87,.......102 n.k . Watanzania wanajua kazi...
Utashangaa CHADEMA ikashinda zaidi kuliko hiyo CUF. Lakini si kweli kwamba CHADEMA hakipo. Mfano Mtwara Mjini CUF imepata mitaa 36, CHADEMA imepata 16 na NCCR imepata 5. Nachingwea CUF imepata vijiji 13, CHADEMA imepata 12, CUF kina Diwani 1 na CHADEMA Madiwani 4. Nanyumbu CUF imepata vijiji 9...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.