aisee mbona hueleweki, upo mkoa gani mkuu? hao kondoo idadi yao wanafika 100? kama vipi basi ni vyema uwachunge ww mwenywe. kondoo sio kama ngombe hawana tabu sana kuwachunga. pia tunaweza kuongea biashara, maana nahitaji kondoo 1 kwa ajili ya eid mwezi wa 5.
ungeeleza shingo inauma vipi? je ni misuli? ni mishipa? nk. watu wenye taaluma ya afya wangekupa ushauri. ila matokeo yake umeenda kuongelea mambo mengine out of the point.
Salaam..
Yeyote ambae anauza kiti cha ofisini used/kipya, basi nipe picha yake na bei yake
Nipo dar nimeweka picha za sample, nahitaji kiti cha namna hii bei isiwe juu sana.
kama haitafanya kazi utarudishiwa pesa yako full (elfu 20) na battery utakaa nayo. ila asilimia kubwa itafanya kazi kwani ni brand nzuri sana hizi APC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.