Recent content by CEYLON

  1. CEYLON

    Mikopo kwa njia ya simu kilio kipya kwa Watanzania

    Napitia machungu uliyopitia. Mkopo wangu umezuiwa kwa sababu ya deni la elfu 10 na kitu
  2. CEYLON

    NAHITAJI MTU ANITENGENEZEE VITAMBULISHO ,(SOFT COPY)

    Nahitaji mtu wa kunitengenezea vitambulisho 300 soft copy kwa hapa Dar.Aliye tayari anichek inbox tuelewane bei, nimtumie sample tufanye kazi.
  3. CEYLON

    Mimi ni mlevi wa kutazama vipindi vya wanyama ila huyu mnyama simpendi

    Hata mimi simpendi,wengine ni fisi,kinyonga na konokono
  4. CEYLON

    Tuchanane: Mambo ambayo akifanya mtu aibu unaona wewe!

    Mwalimu kujamba mbele ya wanafunzi😆
  5. CEYLON

    Tunauza vitabu vya shule mtalaa mpya

    Mnapatikana wapi? Naomba unitajie Title na waandishi wa Vitabu vya History ,Geography na General studies vya kidato cha 5 mtaala mpya mlivyo navyo pamoja na bei zake,navihitaji.
  6. CEYLON

    Chumba changu kaingia nyoka sijui ameingia saa ngapi msaada

    Mmwagie mafuta ya taa au diesel
  7. CEYLON

    Napata wapi viatu hivi kwa hapa Dar?

    Aje fasta
  8. CEYLON

    Napata wapi viatu hivi kwa hapa Dar?

    Habari?Nahitaji raba hizi pichani,mwenye kujua chimbo zinapopatikana anijulishe vinapopatikana.
Back
Top Bottom