Recent content by Central Zone

  1. Central Zone

    Naota ndoto kila siku nipo na mdogo wangu aliyefariki

    Ndio na inafanya kaz ivizuri mkuu
  2. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    zege lilitesa sana na kupandisha cement
  3. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    mkuu ulikua ujenzi? uliramba msata wew?
  4. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    yupo kwa ajili ya wamngojeaoo
  5. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Ila hili limezidi zaidi hata iyo 40% haitakuwepo trust me
  6. Central Zone

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Daaah! Mungu ni mwema siku zotee mi bado naiota kihangaiko kusema kweli
  7. Central Zone

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wanajeshi sasa wamekutana , sawa ngoja mimi SM mstaafu niwaangalie makamanda wangu
  8. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Ndo maana kuna ongezeko la askari wanaopigwa Risasi za mgongo
  9. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Mambo mengine yanasikitisha mpaka kuchekesha tu sasa
  10. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Hata hao waliopo wanapewa ambao wanambanga mkuu, unaweza ukawa upo lakini huna akujuaye ni kilio tuuu
  11. Central Zone

    Naota ndoto kila siku nipo na mdogo wangu aliyefariki

    Kwanini kwako inakua ni shida? hutaki kukutana nae ndotoni? Msemeshe mwambia kaka pumzika
  12. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Taratibu vijana wakichoka kila mmoja atajua chakufanya
  13. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    li mbuyu ndiyo kila kitu angalia mfano kwenye vigezo cha umri kwa mtu wa elimu ya juu wakiwa wamemaanisha sijui stashahada, shahada na kuendeleea hakuna mwenye umri usio zidi miaka 27 mwenye shahada na amemaliza mkataba huu ni uongo, huyo mtu hayupo
  14. Central Zone

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    imagine et ile oljoro ilijaa kwa meseji tuu na tena wengine zilizozuiliwa ndo zinaendelea sasa hivi kwa hivi wanavyotuaminisha ni usahili eti
Back
Top Bottom